FAKE KUANZIA UKUCHA MPAKA UNYWELE.. WADADA MMETUIBIA SANA SASA INATOSHA

Kusema ukweli wanaume tumeibiwa sana na hawa wadada wenye kujifekisha kila kitu kuanzia kucha za miguu mpaka nywele kila kitu ni fake ..Kucha feki, Mahipsi feki, Makalio feki, Maziwa feki , ngozi ya uso feki..kope feki..mweeee..Tumechoka sasa embu kuweni original basi ..Ndo maana wengi wenu hamuolewi....mtu anakupenda ukiwa feki mkifika chumbani ukivua madude yako unakuwa mtu mwigine kabisa....Tumechokaaaa

By TeamWanaume
FAKE KUANZIA UKUCHA MPAKA UNYWELE.. WADADA MMETUIBIA SANA SASA INATOSHA FAKE KUANZIA UKUCHA MPAKA UNYWELE.. WADADA MMETUIBIA SANA SASA INATOSHA Reviewed by Unknown on 1:50:00 AM Rating: 5
Powered by Blogger.