BAADA YA KIMYA CHA MUDA MREFU MREMBO "RAYUU" AIBUKANA PICHA HIZI AKIWA NA MWANAUME ALIYEJICHORA TATTOO YA JINA LAKE

Baada ya Mrembo Rayuu Ambaye ni Mwigizaji katika Tasnia ya Bongo Movies Kukaa Kimya kwa Muda Mrefu Mitandaoni kwa Kuweka Picha zenye Utata..Safari hii Amekuja na Mpya Ambapo ameweka picha akiwa na mwanaume kitandani kwenye mikao ya kimahaba huku mvulana huyo akiwa amejichora Tattoo ya Jina lake kuonyesha ni mtu wake wa karibu aka Mpenzi...
Angalia Picha Hizo Hapo chini na utoe Maoni yako:


BAADA YA KIMYA CHA MUDA MREFU MREMBO "RAYUU" AIBUKANA PICHA HIZI AKIWA NA MWANAUME ALIYEJICHORA TATTOO YA JINA LAKE BAADA YA KIMYA CHA MUDA MREFU MREMBO "RAYUU" AIBUKANA PICHA HIZI AKIWA NA MWANAUME ALIYEJICHORA TATTOO YA JINA LAKE Reviewed by Unknown on 10:25:00 PM Rating: 5
Powered by Blogger.