Breaking News: Majina Ya Walimu Waliopangiwa Kufundisha Shule Za Sekondari YAMESITISHWA Kwa Muda Kutokana Na Kasoro Za Kiufundi Zilizojitokeza

Kutokana na sababu hiyo, orodha tajwa imesitishwa kwa muda ili kufanyiwa marekebisho na kuwekwa orodha sahihi itakayojumuisha wahitimu wa SEKUCO wa mwaka 2014.
Tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza kutokana na kasoro hiyo.
Imetolewa na;
OFISI YA WAZIRI MKUU - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
Breaking News: Majina Ya Walimu Waliopangiwa Kufundisha Shule Za Sekondari YAMESITISHWA Kwa Muda Kutokana Na Kasoro Za Kiufundi Zilizojitokeza
Reviewed by Unknown
on
12:34:00 AM
Rating:
