kifimbo_cheza Wee Mtoto alie kwambia kugombana kwenye mapenzi ni kawaida, amekudanganya, MAPENZI HAYAUMI Na akupendae hakutakii maumivu ila Furaha, atapanda na kushuka kuhakikisha mpenzi wake upo na furaha, na sio kukudhalilisha mbele ya KADAMNASI.. Heshima ni Kitu cha bureeee, @mziwandanation
arnoldedge Na wew utakufa kwa kuendekeza njaa izo
janelicious4 Kwakweli ana kera sna hivi mwanaume mzima una simamamisha unapigwa mbele ya watu khaaaa kichefuchefu itabidi niombe ndimu maana umenikera sna @shilolekiuno nampenda ila kanifny nimchukie kbs hy sio maisha kuna watu maarufu kim kina flani (.....) watu wakubwa kushinda ht wewe uwa awafanyi hyo ujinga kbs sembuse wewe fala
pretynorah Kaka angu usiwe kama huyu bwege mtozene @kakytee
kishajeremiah @kijahmakoye nahisi hata wanavyoishi mziwanda ni full kupika, kuosha vyombo, kutandika, kudeki akiacha tu konde huyo ndo mwanaume
fatmamnwele Unatakiwa uhashimiwe km mwanaume hata km huna kitu asionyeshe mbele za watu mambo ya kuja kunyang'anywa funguo za gari na kuonyesha kwa watu kwamba kila kitu ni chake malizeni chumbani ugomvi wenu naimani wazazi wako wakisikia wanaumia
nletcher hahahhaaa..jaman!!mahaba nichape vibao nikalale..@mihohrey @zion_edu 3h
glowrymassawe07 @kipenzichao yan mamaake kwakweli anaumia sana bas tu atafanyaje,uko ni kujiabisha na kuaibisha familia yake pia...mi inaniuma ka nn...kwan mastaa wenzao wakiume wakowapi wamkanye uyo shishi??? ila pia kwan we nuhu kwamawazo yako yaliyoenea shishi wakwako pekeako??? fight kwa maisha yako yajayo we bado yunk...usiendekeze kulelewa na cyo mapenz yamekugandisha apo bali ni maisha ya burebure.....walllah utakufaga maskin ukimuendekeza uyo manzi tafta pesa na maisha yako uwe huru na amani
alikiba_diamond Kukupiga vibao hadharani hyo ni hatua ya mwisho katika ugomvi wa mausihano,,,,shishi anajaribu kuongea nå ww kwa vitendo,,,watu hawakushauri uachane nae,,watu wameguswa nå tukio hlo..chukua tahadhari kua makini nå huyo binti.... MIMI NI SHABIKI NINAEVUTIWA NÅ KAZI ZAKO SI UHUSIANO WAKO
BAADA YA KUPIGWA VIBAO NA SHILOLE==>> NUHU MZIWANDA AFUNGUKA MAZITO JUU YA SAKATA HILO
Reviewed by Unknown
on
11:00:00 PM
Rating: