AUNT EZEKIEL==>>MIMBA YANGU IMEKUJA VIZURI HAIJANIBADILI TABIA KAMA WENGINE


Huku kukiwa na tabia kuwa baadhi ya wanawake wanapokuwa wajawazito wanakuwa na tabia za kusumbua na kubagua baadhi ya vitu, msanii wa filamu za Kibongo Aunty Ezekiel ‘Mama Kijacho’, amesema kwa upande wake yuko vile vile na wala hajabadilika.


Akiongea na mpekuzi, Aunty alisema kuwa haoni kama amebadilika kitabia au kuwa msumbufu bali anajiona yupo kawaida ingawa mara nyingine anakuwa anachoka sana.

“Mimba wala haijanibadili maisha kwa maana sipo kama wanawake wengine wanavyokuwa wasumbufu, naamini kuwa nitaendelea kuwa hivi hadi mwisho nitakapojifungua,” alisema Aunty.
AUNT EZEKIEL==>>MIMBA YANGU IMEKUJA VIZURI HAIJANIBADILI TABIA KAMA WENGINE AUNT EZEKIEL==>>MIMBA YANGU IMEKUJA VIZURI HAIJANIBADILI TABIA KAMA WENGINE Reviewed by Unknown on 10:42:00 PM Rating: 5
Powered by Blogger.