Wanawake Muwe Makini… Huyu Amefariki Guest House kwa Kulishwa Sumu, Mwanaume Kakimbia


Tukio limetokea Guest House Kimara Dar es salaam usiku wa May 1 2016 ambapo Mwanaume mmoja aliyeingia kwenye nyumba hiyo ya Wageni akiwa na Mwanamke, alikimbia kwa kusingizia kwenda dukani kununua vocha wakati Mwanamke huyo akikaribia kukata roho na hakurudi tena.

Wakati tunasubiri uchunguzi wa Polisi, mashuhuda kwenye eneo la tukio wamesema inavyoonekana Mwanamke huyo atakua kawekewa sumu kwenye chips alizokua anakula ndani ya chumba cha nyumba hiyo ya Wageni chips ambazo inadaiwa walitokanazo kwenye safari yao na kuja nazo Guest House.

Wanawake Muwe Makini… Huyu Amefariki Guest House kwa Kulishwa Sumu, Mwanaume Kakimbia Wanawake Muwe Makini… Huyu Amefariki Guest House kwa Kulishwa Sumu, Mwanaume Kakimbia Reviewed by Unknown on 1:20:00 AM Rating: 5
Powered by Blogger.