BREAKING NEWS..>>MWANAMUZIKI SNURA AFUNGIWA KUJIHUSISHA NA SANAA BAADA YA WIMBO WAKE WA "CHURA" KUONEKANA HAUNA MAADILI..TOA MAONI YAKO

Msanii amefungiwa kufanya maonyesho ya wazi kwa sababu imebainika kwamba hana kibali kutoka Basata kinachomtambua kama msanii.
Aidha serikali imesisitiza kwa watumiaji wa mtandao kuacha mara moja kusambaza video hiyo kwani TCRA itawachukulia hatua wale wote watakao endelea kuisambaza video hiyo.
Aidha serikali imesisitiza kwa watumiaji wa mtandao kuacha mara moja kusambaza video hiyo kwani TCRA itawachukulia hatua wale wote watakao endelea kuisambaza video hiyo.
BREAKING NEWS..>>MWANAMUZIKI SNURA AFUNGIWA KUJIHUSISHA NA SANAA BAADA YA WIMBO WAKE WA "CHURA" KUONEKANA HAUNA MAADILI..TOA MAONI YAKO
Reviewed by Unknown
on
5:50:00 AM
Rating:
