DIAMOND PLATNUMZ AFANYA JAMBO LA KUSHANGAZA SANA ,WENGI WAMSIFU KWA ALICHOKIFANYA..SOMA HAPA KUJUA KAFANYA NINI

Wanasema ukipenda boga, penda na maua yake.
Kwa Diamond kumpenda Zari the Bosslady kunaamanisha kuyapenda pia maua yake matatu ya mwanzo. Unapompenda mwanamke ambaye tayari ana watoto watatu kabla yako, ni lazima ukutane na changamoto nyingi hasa za kutengeneza ukaribu na watoto hao. Wapo waliofanikiwa na wengi wameshindwa. Kwa Diamond lakini ameonekana kuucheza vyema mchezo huu na watu wamemsifia.

Jana ilikuwa ni birthday ya mtoto wa tatu wa Zari, Lil Q ambaye katika wote anaonesha kumkubali zaidi Diamond kuliko wale wawili wakubwa. Kuonesha kuwa anamkubali pia dogo huyo mkali wa kunyuka pamba, Chibu alimtumia salamu za birthday kwenye Insagram zilizowavutia wengi.


“Happy Birthday to my Little Handsome… Mr Swag on point… i know he’s your Bae.. @lilQ_is_Bae,” aliandika.
DIAMOND PLATNUMZ AFANYA JAMBO LA KUSHANGAZA SANA ,WENGI WAMSIFU KWA ALICHOKIFANYA..SOMA HAPA KUJUA KAFANYA NINI DIAMOND PLATNUMZ AFANYA JAMBO LA KUSHANGAZA SANA ,WENGI WAMSIFU KWA ALICHOKIFANYA..SOMA HAPA KUJUA KAFANYA NINI Reviewed by Unknown on 3:07:00 PM Rating: 5
Powered by Blogger.