Je Wajua Nguo za Ndani za Kimkanda tu zina Madhara kiafya Kwa Mwanamke?

Mbali nakua comfortable pindi uzivaapo wadau wanasema zinasababisha magonjwa kutokana na muingiliano wa kamba sehemu ya anus inayotembea mpaka sehemu ya uke.

Je bacteria walioko mle wanaeza kuingia na kushambilia uke? Je pia kutokana na unyevu unyevu wa kambani ule unaweza ukapitisha mpaka ukeni na kuleta fangasi?
Je Wajua Nguo za Ndani za Kimkanda tu zina Madhara kiafya Kwa Mwanamke? Je Wajua Nguo za Ndani za Kimkanda tu zina Madhara kiafya Kwa Mwanamke? Reviewed by Unknown on 4:35:00 AM Rating: 5
Powered by Blogger.