Mrembo na mwigizaji wa filamu hapa bongo, Jackline Massawe “Wolper” akionekana amekaa kochini akiwa na kinywaji mkononi, aliandika maneno haya mara baada ya kubandika picha hiyio hapo juu;
“ 2015 ni mwaka wakuish utakavyo na huu ni mwaka wakuishi watakavyo ..Kauli mbiu bwana nazikubali sana”
Hii kwako imekaaje?
Mie namuunga mkono kabisa nakusema haya hapa chini:
'You've gotta dance like there's nobody watching,
Love like you'll never be hurt,
Sing like there's nobody listening,
And live like it's heaven on earth.'
“ 2015 ni mwaka wakuish utakavyo na huu ni mwaka wakuishi watakavyo ..Kauli mbiu bwana nazikubali sana”
Hii kwako imekaaje?
Mie namuunga mkono kabisa nakusema haya hapa chini:
'You've gotta dance like there's nobody watching,
Love like you'll never be hurt,
Sing like there's nobody listening,
And live like it's heaven on earth.'
MSANII WOLPER AFUNGUKA MAZITO>>>ASEMA MWA KA 2015 NI MWAKA WA KUJIRUSHA NA KUISHI UTAKAVYO
Reviewed by Unknown
on
11:06:00 PM
Rating: