Wema sepetu Ampongeza Jokate Lakini Asisitiza Kuendelea Kumnunia


Mastaa mbalimbali wamajitokeza na kumponzea mwanadada Jokate Mwegelo kwakuweza kupambana na kufanikiwa kuingia mkataba na kampuni kutoka China , kwaajili ya kutengeneza vitu mbalimbali kama nywele, viatu, na nk ,kupitia kampuni yake ya KIDOTI.
Mwigizaji Wema Sepetu nae haukuwa nyuma kwani jana kupitia mtandaoni alimpongeza mwanadada Jokate kwa hatua aliyofikia na akasema hii ni kama changamoto kwa kila kijana na kumtakia mafanikia zaidi kwa mwaka ujao.Mwishoni akamalizia na kautani kidogo kuwa ataendelea tu kumnunia.....
“Way to go baby girl.... Wat can I say..., Im more dan proud... Let this be a challenge to every youth.... Yes it is possible.... Mi nathubutu kusema Umetisherrr... #Hatari #SayGoodbyeTo2014 .... 2015 is mos def a good year for u.... @jokatem @jokatem @jokatem @jokatem ...
usidhani bado sijakununia.... hii ni post tu ila mnuno unaendelea.... “
Hiki ndicho alichokisema Wema.
Wema sepetu Ampongeza Jokate Lakini Asisitiza Kuendelea Kumnunia Wema sepetu Ampongeza Jokate Lakini Asisitiza Kuendelea Kumnunia Reviewed by Unknown on 4:56:00 AM Rating: 5
Powered by Blogger.